Psalms 80:8-11


8 aUlileta mzabibu kutoka Misri,
ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
9Uliandaa shamba kwa ajili yake,
mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,
matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
11 bMatawi yake yalienea mpaka Baharini,
Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.

machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
Yaani Mto Frati.

Copyright information for SwhNEN